Mdhamini wa Taasisi ya Kilimanjaro Dialogue, Habib Miradji (katikati) akiongoza mjadala jijini Dar es Salaam leo, kuhusu umuhimu wa wanahabari kuandika habari za kudumisha amani nchini ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Habari Duniani. Mjadala huo uliandaliwa na taasisi hiyo. 9PICHA NA RICHARD MWAIKENDA) Mdhamini …
Read More »Daily Archives: May 3, 2017
SIMBA YAKIMBILIA FIFA KISA MCHEZAJI WA KAGERA SUGAR
Klabu ya Simba imesema kuwa, itapeleka malalamiko yao katika Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) kutokana na kudhulumiwa mchezaji wao, Mbaraka Yusuph anayekipiga kwenye kikosi cha Kagera Sugar. Rais wa Simba, Evans Aveva, ameyasema hayo leo mbele ya waandishi wa habari huku akiwa na leseni mkononi ya mchezaji huyo …
Read More »MUHTASARI WA HOTUBA YA WAZIRI MHE. UMMY A. MWALIMU , KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2017/18
UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, kufuatia taarifa iliyowasilishwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii ndani ya Bunge lako Tukufu, ambayo imechambua Bajeti ya Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, naomba sasa kutoa hoja kwamba Bunge lako likubali kupokea na kujadili …
Read More »MAONYESHO YA SITA YA MADINI YA VITO YAANZA RASMI LEO JIJIJI ARUSHA
Mkuu wa mkoa wa Manyara Dk Joel Bendera akifatilia jambo wakati alipokuwa anazindua rasmi maonyesho ya sita ya vito na madini yanayofanyika katika hotel ya Mounti Meru ilipo jijini Arusha(habari picha na Woinde Shizza,Arusha) Meya wa jiji la Arusha naye aliuzuria katika uzinduzi wa maonyesho haya ya vito …
Read More »Ufinyu Wa Bajeti Ni Kikwazo Kwa Huduma Za Uzazi Wa Mpango
Ufinyu wa bajeti kwa ajili ya huduma za uzazi wa mpango imekuwa ndicho kikwazo kikuu katika kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi hapa nchini ambapo katika miaka sita iliyopita kiwango cha juu sana kilichotengwa na kutolewa kwa mwaka ni shilingi bilioni tano tu. Hayo yameelezwa na Dkt. Faustine Ndugulile, ambaye ni …
Read More »WAANDISHI WATAKIWA KUTUMIA KALAMU ZAO VIZURI.
Na Nuru Juma & Husna Saidi- MAELEZO Waandishi wa Habari nchini wametakiwa kuzingatia kanuni,sheria na taratibu za uandishi katika kuandika habari zitakazoleta umoja,mshikamano na maendeleo na siyo uchochezi ili kujenga jamii bora. Hayo yamesemwa leo Jijini Mwanza na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt.Harrison George Mwakyembe kwa niaba …
Read More »SERIKALI KUBORESHA UPATIKANAJI WA DAWA KATIKA VITUO VYA HUDUMA ZA AFYA NCHINI.
Na Husna Saidi & Nuru Juma- MAELEZO Serikali kupitia Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeweka mikakati endelevu ya kuboresha upatikanaji wa dawa kwenye vituo vyote vya huduma za afya nchini. Hayo yamebainishwa leo Bungeni Mjini Dodoma na Naibu Waziri wa Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, …
Read More »MAKAMU WA PILI WA ZANZIBAR AWATAKA WAANDISHI WA HABARI KUTUMIA VIZURI KALAMU ZAO
Na ALI Issa Maelezo-Znzibar Makamu wa pili wa Rais Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amesema wandishi wa habari watumie vizuri kalamuzao na wanapo andika habari zao wazifanyie uchunguzi kwa makini isiwe kukurupuka kuzitangaza kwani zinaweza kuwaletea matatizo wao wenyewe ua kusababisha matatizo makubwa kwa taifa na jamii kwa ujumla. Hayo …
Read More »BONANZA LA AFYA KWANZA LAFANA JIJINI ARUSHA
wakwanza kushoto ni muaandaji wa bonanza la Afya kwanza akiwa na timu ya Triple a klabu Fc kabla ya mechi kuanza(habari picha na Woinde Shizza wa libeneke la kaskazini ) timu ya tigo Fc ikiwa pamoja na timu ya Triple A klabu FC waimbaji wa …
Read More »MKUU WA MKOA WA MWANZA AHITIMISHA MAADHIMISHO SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI, KITAIFA JIJINI MWANZA.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella, amehitimisha kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, yaliyofanyika kitaifa Jijini Mwanza. Mongella amewasisitizia wanahabari kujikita zaidi katika weledi kwenye utendaji wao wa kazi ili kuondokana na migogoro inayoweza kujitokeza wakati wakitimiza majukumu yao. Amewahimiza zaidi waandishi wa …
Read More »UFAFANUZI KUHUSU UTAFITI WA VIASHIRIA NA MATOKEO YA UKIMWI TANZANIA WA MWAKA 2016/17
Kumekuwepo na taarifa iliyoandikwa kwenye kurasa za mitandao ya kijamii za Clouds Media Group za Facebook na Instagram ikimnukuu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Grace Magembe akisema kuwa ‘‘Upimaji wa VVU nyumba kwa nyumba sasa rasmi, mchakato unaendelea na zoezi litaanza rasmi mwishoni mwa mwezi …
Read More »WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA PROF. PALAMAGAMBA KABUDI AHUDHURIA MKUTANO WA 56 A MWAKA WA JUMUIYA YA MASHAURIANO YA MASUALA YA KISHERIA YA NCHI ZA ASIA NA AFRIKA
Mkutano huo unajadili masuala mbalimbali ya kisheria yanayohusu ugaidi, utawala wa sheria, maendeleo ya Mahakama ya Kimataifa ya mauala ya Jinai na masuala ya wakimbizi katika nchi wanachama. AALCO ilianzishwa mwaka 1956 kwa lengo la kuwa chombo cha ushauri na ushirikiano katika masuala ya sheria za kimataifa kwa nchi za Asia na Afrika. Toka kuanzishwa kwake chombo hiki kimewezesha nchi wanachama kushirikiana na kubadilishana uzoefu katika masuala mbalimbali ya sheria za kimataifa na kimechangia kwa kiasi kikubwa maendeleo ya sheria za kimataifa. Tanzania ilijiungana umoja huo 1973 na kwa sasa Katibu Mkuu wa Umoja huo ni Mtanzania Prof. Kennedy Gastorn ambaye alichaguliwa kushika nafasi hiyo Agosti 2016.
Read More »SERIKALI YAWAPOKEA WATAALAM WATANO WA KUJITOLEA KUTOKA JAPANI WALIOKUJA KUTOA HUDUMA NCHINI
Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Susan Mlawi akizungumza na Wataalam wa kujitolea kutoka Japani waliokuja kutoa huduma nchini wakati wa hafla fupi ya kuwakaribisha Wataalam hao iliyofanyika Ofisi ya Rais-Utumishi leo. Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais – Menejimenti …
Read More »WAZIRI MWAKYEMBE AZINDUA TAARIFA YA HALI YA VYOMBO VYA HABARI NCHINI TANZANIA KWA MWAKA 2016.
Makamu wa Rais wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini, Jane Mihanji, akizungumza hii leo kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani 2017, yanayofanyika kitaifa Jijini Mwanza. Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe.Dkt.Harrison Mwakyembe, ambaye …
Read More »“HALI YA DAWA NCHINI IMEIMARIKA”-MHE.KIGWANGALLA
Na Daudi Manongi-MAELEZO, DODOMA. Serikali kupitia Wizara ya Afya ,Maendeleo ya Jamii ,Jinsia,Wazee na Watoto imesema kuwa hali ya upatikanaji wa Dawa nchini imeimarika na kufikia asilimia 83. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe.Khamis Kigwagalla alipokuwa akijibu Hoja mbalimbali za Wabunge leo Mjini Dodoma. “Moja ya vipaumbele …
Read More »MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA KUMI NA SITA MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO MEI 3, 2017.
Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Andrew Chenge akiongoza kikao cha kumi na sita cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 3, 2017. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mhe.Angelina Kairuki akijibu maswali mbalimbali ya wabunge kikao cha kumi na sita …
Read More »YANGA,KUNA NJIA ZAIDI YA HIYO
ABDUL DUNIA Hongera Yanga…..Hongera Yanga….Hongera Yanga…Hongera Yanga. Ndio lazima Yanga ipewe pongezi kwa hapa ilipofikia. Ni mara chache sana kwa Klabu kubwa kama Yanga kueleza ukweli kwenye matatizo yake. Ni mara chache sana. Leo napingana na ule msemo unaopendwa kutumiwa na Wanajeshi Vitani unaosema, Usiombe amani wakati wa Vita. Ila …
Read More »MEYA WA JIJI AMTEMBELEA MJANE WA BOB MAKANI NYUMBANI KWAKE
Meya wa jiji la Dar es SAlaam Isaya Mwita akimfariji Mjane wa aliyekuwa mhasisi na Katibu MKuu wa kwanza wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Bob Makani( Mama Makani) Mjane wa aliyekuwa mhasisi na Katibu MKuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Kaboga Makani akimueleza jambo Mstahiki Meya …
Read More »UCHAGUZI TAFCA KINONDONI SASA JUNI 4
Uchaguzi wa viongozi wa Chama cha Makocha wa Mpira wa Miguu (TAFCA) Mkoa wa Kinondoni uliokuwa ufanyike Mei 7 mwaka huu jijini Dar es Salaam sasa umesogezwa mbele hadi Juni 4. Uamuzi wa kusogeza mbele uchaguzi huo umetokana na mwitikio mdogo wa uchukuaji fomu kwa wagombea. Muda wa uchukuaji fomu sasa umeongezwa hadi …
Read More »WAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA CHA SUKARI TPC
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametembelea kiwanda cha sukari cha TPC kilichopo Arusha Chini, wilayani Moshi, mkoani Kilimanjaro na kukagua baadhi ya miundombinu ya kiwanda pamoja na mashamba. Akiwa kiwandani hapo, Waziri Mkuu alielezwa kwamba hivi sasa msimu wa uzalishaji umefungwa na kiwanda kinafanyiwa matengenezo ambapo alishuhudia baadhi ya mitambo …
Read More »HIMID MAO ATUA LIGI KUU DENMARK TAYARI KWA CHANGAMOTO MPYA
KIUNGO wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, akiwa tayari amewasili kwenye makao makuu wa klabu ya Randers alikokwenda kufanya majaribio. Kama anavyoonekana hapo kwenye picha, akiwa katika uwanja unaotumiwa na timu hiyo unaoitwa ‘BioNutria Park Randers’. Kwa mujibu wa tovuti ya timu hiyo, inaeleza kuwa Himid …
Read More »Vicoba Moshi Wanufaika Na Mafunzo Ya Ujasiriamali
Wajasiriamali wa Kilimanjaro Vicoba Network (KIVINET) wamepata elimu ya ujasiriamali baada ya kupata mafunzo yaliyoandaliwa na FINCA Microfinance Bank mjini Moshi mwishoni mwa wiki. “Lengo la mafunzo hayo ni kuwawezesha wajasiriamali wa KIVINET kuwa na uelewa wa kutosha wa kukuza miradi na mitaji yao hivyo kushiriki kikamilifu katika kukuza …
Read More »Ticha Kidevu Kutoa Zawadi Kwa Mkali Wa Mapindi
Shule Director, Je! wewe ni mwanafunzi unayejiamini, mkali wa kupigisha mapindi wenzio. Ticha kidevu anataka kukupa zawadi amazing, Tembelea tovuti ya www.shuledirect.co.tz kusoma vigezo na masharti ya jinsi ya kushiriki. #MkaliWaMapindi17 #ShuleDirect #TichaKidevu
Read More »ZIARA YA KAIMU KATIBU MKUU UVCCM SHAKA YAVUNA WENYEVITI NA MAKATIBU VYAMA VYA UPINZANI WILAYANI NKASI
Kaimu Katibu mkuu UVCCM Shaka hamdu Shaka akimsalimia mama mzazi wa Mhe:Wazir Mkuu Mstaafu Mizengo kayanza peter pinda alipokwenda kutoa pole kwa familia ya Mzee Pinda kufuatia kifo cha baba yake Mzazi kijiji cha kibaoni Wilaya ya Mlele mkoa wa katavi. Wananchi na Viongozi wakimpokea Ndg:Kaimu Katibu mkuu UVCCM Shaka …
Read More »RONALDO AIMALIZA ATLETICO MADRID UEFA CHAMPIONS LIGI NUSU FAINALI YA KWANZA
Hattrick yake ya 7 katika michuano ya Champions League imemfanya Cristiano Ronaldo aifikie rekodi aliyokuwa nayo Lioneil Messi katika mashindano hayo ya UEFA. Cristiano Ronaldo alikuwa mwiba mchungu kwa Atletico Madrid kwani mabao matatu aliyofunga, moja kipindi cha kwanza na mawili kipindi cha pili yalitosha kuiangamiza kabisa Atletico Madrid. Real …
Read More »BENKI YA NMB YAISAIDIA TIMU YA SINGIDA UNITED VIFAA VYA MICHEZO VYA SH.MILIONI 10
911-essay.com
Read More »SEKTA YA VIWANDA NCHINI NA ULIPAJI KODI YA MAPATO
CHEMBA ya Madini na Nishati (TCME) imetambua na kuguswa na taarifa zisizo sahihi kwamba kampuni zinazojihusisha na uchimbaji mkubwa wa madini zimekuwa zikifanya shughuli zake hapa nchini bila ya kulipa kodi ya mapato. Chemba hii ni muwakilishi wa makampuni wanachama waliorasimisha shughuli zao katika sekta ya madini kuanzia kampuni ndogo …
Read More »BAJETI YA WIZARA YA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO YAPITISHWA
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (katikati), akimsikiliza Katibu Mkuu (Sekta ya Ujenzi), Eng. Joseph Nyamhanga (Kulia), mara baada ya kumaliza kuwasilisha Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka wa Fedha 2017/2018. Kushoto ni Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Eng. Deusdedit Kakoko. Waziri wa Ujenzi, …
Read More »YANGA YAIPIGA KIPIGO CHA BAO TANO TIMU YA BUSERE SERE FC ,YAHAIDI KUWAPA FURAHA MASHABIKI WAKE ZIDI YA PRISONS
Timu ya Yanga ikiweka Gori la kwanza ambalo limefungwa na Deus Kaseke aliyefungua pazia hilo la mabao kufunga dakika ya 45 kipindi cha Kwanza. Mashambulizi yakiendelea kwa Timu zote mbili Yanga na Buseresere FC. YANGA imepoza machungu ya kuvuliwa Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania …
Read More »