Timu ya soka ya taifa ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti imeanza vizuri michuano ya Kombe la Mataifa Afrika baada ya sare ya bila kufungana dhidi ya mabingwa watetezi wa michuano hiyo, Mali. Boys walionyesha kucheza kwa nidhamu ya hali ya juu huku wakijilinda katika kila idara katika mechi …
Read More »Daily Archives: May 15, 2017
JAFO ATOA WIKI MBILI KWA HALMASHAURI YA CHAMWINO KUKAMILISHA MRADI WA MAJI MANZASE
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa TAMISeMI akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Serikali, Madaktari Bingwa, Viongozi wa Dini na Siasa katika Hospitali ya Mvumi. ………………………………………………………………………………………. Na Shanni Amanzi Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI)Selemani …
Read More »MBUNGE WA JIMBO LA TANGA ALHAJI MUSSA MBARUKU ATEMBELEA KUONA ATHARI ZA MAFURIKO ENEO LA NEEMA DARAJAN
Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj Mussa Mbaruku kushoto akiteta jambo na mmoja wa wakazi wa Jiji la Tanga eneo la Neema mara baada ya kukutana njiani wakati mbunge huyo alipokwenda kukagua kujionea athari zilizotokana na mvua kubwa iliyonyesha kulia ni Diwani wa Kata ya Mnyanjani (CUF) Thobias Haule …
Read More »WALIMU, WATU WAZIMA WATAKAOWAPA UJAUZITO WANAFUNZI KUKIONA CHA MOTO
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Msingi Muhozya baada ya kukagua ujenzi wa vyoo.Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Frank Bahati, kushoto ni Katbu Tawala mkoa huo Kamishna wa wa Polisi Cloundwing Mtweve na nyuma ya mkuu wa mkoa …
Read More »Ziara Maalum ya Dk. Shein Rais wa Zanzibar Kisiwani Pemba
Rais wa Zanzibar na Mwenyekikti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kushoto) alipokuwa akiangalia jengo la ZSTC Mkoani Pemba lililoanguka ukuta kutokana na kuangukiwa na mti baada ya mvua kubwa za masika zilizonyesha hivi karibuni na kusababisha uharibifu mkubwa alipofanya ziara maalum leo (kushoto) Waziri wa Biashara …
Read More »SMZ KUIMARISHA MASHIRIKIANO NA JUMUIYA ZA KIKANDA
Na Ali Issa- Maelezo Zanzibar 15/05/2015 Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inakusudia kuimarisha mashirkiano na Jumuiya za Kikanda na Kimataifa na kuwashirikisha ipasavyo Wazanzibari wanaoishi nje ya nchi katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii ya Zanzibar. Hayo yameelezwa na Waziri wa nchi ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la …
Read More »MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 25, MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO MAY 15, 2017.
Baadhi ya wabunge wakiwa Bungeni leo Naibu Waziri Ofisi ya Rais –TAMISEMI Mhe.Suleiman Jafo akijibu maswali mbalimbali ya wabunge kikao cha Ishirini na tano cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 15, 2017 Waziri wa Nishati na Madini Mhe.Prof Sospeter Muhongo akizungumza jambo na Mbunge …
Read More »TAARIFA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MWANZA
TAREHE 14.05.2017 MAJIRA YA SAA 02:00HRS USIKU KATIKA KISIWA CHA GANA KILICHOPO KIJIJI CHA KAMASI KATA YA ILANGALA WILAYA YA UKEREWE, MTU ANAYEFAHAMIKA KWA JINA LA MKAMA MGENGELE, MIAKA 36, MVUVI NA MKAZI WA GANA KISIWANI, ANASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA KOSA LA KUMFANYIA UKATILI MTU ANAYEDAIWA KUWA MPENZI …
Read More »KATIBU MKUU SIHABA NKINGA ATEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO ARUSHA
Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii)Bi. Sihaba Nkinga akisaini kitabu cha Wageni alipofika katika kijiji cha Watoto kinachosimamiwa na Shirika linalohudumia watoto wenye uhitaji katika malezi na elimu (SOS Children Villages) lililopo Ngaramtoni Mkoani Arusha. Mkurugenzi wa Shirika linalohudumia watoto wenye …
Read More »WAETHIOPIA ZAIDI YA NANE WAMEKUTWA WAMEFARIKI PORINI KATIKA KIJIJI CHA AMANI MAKOLO MKOANI RUVUMA
Ditha nyoni – RUVUMA Raia nane kutoka nchi ya Ethiopia wamekutwa wamefariki katika kijiji cha Amani makolo taarafa ya kingonsera wilayani mbinga mkoani wa ruvuma huku wengine 25 wakiwa hai wanashikiriwa na jeshi la polisi. Habari kutoka jeshi la polisi mkoa wa ruvuma kupitia kaimu kamanda wa polisi ACP DISAMASI …
Read More »MWAMBUSI:MECHI YA TOTO AFRICANS ITAKUWA NGUMU KWETU
Kocha msaidizi wa Yanga SC, Juma Mwambusi ameizungumzia mechi yao ya kesho dhidi ya Toto Africa kama mechi ngumu na yenye ushindani mkubwa kutokana hali waliyonayo wapinzani wao. Mwambusi ametanabaisha wao kama benchi la ufundi wameiandaa vyema timu yao kucheza kwa ushindani ili washinde mechi hiyo na kujiweka katika mazingira …
Read More »MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BIMA NCHINI YAWABANA WATUMIAJI WA STIKA ZA BIMA BANDIA
ASKARI wa usalama barabarani wilayani Kibaha mkoani Pwani wakisikiliza elimu juu ya matumizi ya mfumo wa kubaini stika bandia kwa magari mbalimbali,mfumo ulianzishwa na mamlaka ya usimamizi wa Bima nchini TIRA.(Picha na Mwamvua Mwinyi) kamishna wa mamlaka ya usimamizi wa bima nchini,dr.Baghayo Saqware ,wa kwanza kulia akieleza jambo kwa askari …
Read More »TCCIA YAINGIA MAKUBALIANO NA UTURUKI.
Chemba ya Wafanya biashara, Viwanda na Kilimo ( TCCIA ) imeingia makubaliano na Chemba ya Biashara ya Uturuki (TOBB) mjini Instanbul.TOBB ni chemba ya 2 kwa ukubwa duniani ikiwa na wanachama zaudi ya 1,500,000. Ikumbukwe kuwa Uturuki ni Nchi ya 16 kwa uchumi duniani na kilimo ni Nchi ya 7. …
Read More »WALIMU WA SKULI YA AFYA NA SAYANSI ZA TIBA WA CHUO KIKUU CHA TAIFA ZANZIBAR (SUZA) NA VYUO BINAFSI VYA AFYA WAANDALIWA MAFUNZO YA MAADILI
Kaimu Naibu Mkuu wa Skuli ya Afya na Sayansi za Tiba Bi. Amina Abdulkadir akimkaribisha Naibu Waziri wa Afya Harusi Said Suleiman kufungua warsha ya maadili na utafiti kwa walimu wa skuli hiyo na viongozi wa wauguzi wa Hospitali za Serikali na Binafsi huko Mbweni, nje kidogo ya Mji wa …
Read More »VIDEO:WAZIRI UMMY AZITAKA SEKTA BINAFSI NA WAAJIRI WA UMMA KUZINGATIA HAKI YA MWANAMKE KUNYONYESHA
RAIS DKT. MAGUFULI AIFUTA MAMLAKA YA USTAWISHAJI MAKAO MAKUU CDA, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini Amri ya Rais (Presidential Order) kuifuta Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu CDA, tukio lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasilikiza viongozi mbalimbali waliokuwa wakichangia mara baada ya …
Read More »MAJALIWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA ALBINO KITAIFA
Mwenyekiti wa Chama cha Watu wenye Ualbino Tanzania (TAS) Bw. Nemes Temba (katikati) akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akielezea maadhimisho ya siku ya kimataifa ya uelewa juu ya ualbino mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kulia ni Mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Dar es …
Read More »VYAMA VYA USHIRIKA VYA MSINGI MANYARA VYATEMBELEWA NA BENKI YA KILIMO
Katibu wa Homari AMCOS, Bw. Abdul Msangi (kulia) akiwakaribisha wageni Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania walipotembea AMCOS hiyo. Mwenyekiti wa Homari AMCOS iliyopo katika Kijiji cha Masakta, Bibi Magreth Mgeni (kushoto) akizungumza na wageni kutoka TADB walipotembea AMCOS hiyo. Wanaomsikiliza ni Mwenyekiti wa RIVACO, Bw. Lohay Langai (katikati) na …
Read More »TIMU ZA DAR ZAJITOKEZA KWA WINGI USHIRIKI MICHUANO YA KIKAPU
Kiongozi wa timu ya mpira wa kikapu ya Weusi Basketball Club ya jijini Dar es Salaam, Mntambo Mngeja (kulia) akipata maelekezo ya juu ya kujiandikisha kutoka kwa mratibu ya michuano ya Sprite Bball Kings, Basilisa Biseko wakati wa zoezi la uandikishaji wa timu mbalimbali kwa ajili ya ushiriki wa michuano …
Read More »BREAKING NEWS :HANS POPPE AREJEA SIMBA, NI BAADA YA KUMALIZANA NA UONGOZI
Zacharia Hans Poppe, amereja Simba. Uamuzi wa Hans Poppe kurejea Simba umetokana na mkutano uliofanyika hadi saa 9 usiku wa kuamkia leo. Hans Poppe amethibitisha kurejea kwake kundini baada ya mkutano huo na viongozi. Hans Poppe aliamua kujiondoa katika kamati ya utendaji ya Simba na akawa akawa ametoka kwenye kamati …
Read More »TAARIFA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kufanya misako, operesheni na doria zenye tija katika maeneo mbalimbali ili kudhibiti uhalifu na wahalifu na limekuwa likishirikiana na wananchi na wadau wengine katika jitihada hizo za kukabiliana na uhalifu na wahalifu na kupata mafanikio makubwa ikiwa ni pamoja na kupungua kwa …
Read More »MANENO YA HANS POPPE KUHUSIANA NA UAMUZI WAKE WA KUONDOKA SIMBA
Mwenyekiti wa kamati ya Usajili Zacharia Hans Poppe, mmoja wa wanachama na viongozi maarufu wa Klabu ya Simba, ameamua kuachia ngazi kwenye kamati ya utendaji. Uamuzi wake wa kuondoka kamati ya utendaji, moja kwa moja unamuondoa kwenye nafasi ya mwenyekiti wa kamati ya usajili. Hans Poppe amesema kuwa, ameondoka baada …
Read More »MSHAMBULIAJI WA MAMELOD SUNDOWNS ATUA SINGIDA UNITED
Singida United imedhamiria kuleta mapinduzi ya soka hapa nchini baada ya klabu hiyo kuendelea kujiimarisha zaidi kwenye usajili wa wachezaji. Baada ya kufanikiwa kusajili wachezaji wanne wa kigeni leo hii uongozi wa klabu hiyo umekamilisha usajili wa mshambuliaji aliyewai kuitumikia ya Mamelod Sondowns na Super Sport za nchini Afrika ya …
Read More »Jokate Awaomba Watu Maarufu Kusaidia Kuondoa Changamoto Katika Sekta Mbalimbali Nchini
Miss Tanzania namba mbili 2006 na Kaimu Katibu Hamasa wa Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Jokate Mwegelo akikabidhi zawadi mbalimbali kwa wanafunzi wa Kidato cha Sita wa shule ya Sekondari ya Jangwani mara baada ya kumaliza mtihani wao. Miss Tanzania namba mbili 2006 na Kaimu …
Read More »KUNDI LA MTANDAO WA WHATSAPP LA “SARATANI INFO” LATOA MSAADA WA BIMA ZA AFYA KWA WATOTO 8 WANAPATA MATIBABU YA SARATANI KCMC.
Mabalozi wa Kundi la Mtandao wa Kijamii wa Whatsaap la Saratani Info wakiwa katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC tayari kutembelea kitengo cha Saratani katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC. Mabalozi wa Kundi la Mtandao wa Kijamii wa Whatsaap la Saratani Info wakiwa wamebeba zawadi mbalimbali kwa ajili ya kutoa kwa wagonjwa …
Read More »SERENGETI BOYS KUIVAA MALI LEO AFCON U-17 NCHINI GABON
Timu ya Taifa ya vijana chini ya umri wa Miaka 17, Serengeti Boys, leo Jumatatu inafungua pazia lake katika mashindano ya Kombe la Afrika kwa Vijana, kwa kumenyana na Mali katika michuano hiyo inayofanyika nchini Gabon. Serengeti Boys ipo Kundi B, pamoja na timu nyingine za Angola na Niger ambazo …
Read More »MBEYA CITY YANOGESHA UMISSETA COPA COCA-COLA MBEYA
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla akihutubia wakati wa hafla ya uzinduzi wa michezo ya Umisseta Copa Coca Cola katika uwanja wa Sokoine mjini Mbeya mwishoni mwa wiki. Meneja Masoko Msaidizi wa Coca-Cola,Pamela Lugenge,akiongea wakati wa hafla ya uzinduzi wa michezo ya Umisseta Copa Coca Cola katika uwanja wa …
Read More »