Daily Archives: May 21, 2017
WAZIRI MUHONGO AKUTANA NA RAIS WA KAMPUNI YA TBEA YA CHINA
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amekutana na Rais wa Kampuni ya TBEA ya China, Zhang Xin kwa ajili ya kujadili masuala ya uwekezaji kwenye Sekta ya Nishati nchini. Mkutano huo wa Waziri Muhongo na Rais huyo ambaye ameongozana na Ujumbe wake umefanyika Mei 21, 2017 jijini Dar …
Read More »SHEREHE ZA TUZO ZA LIGI KUU 2016/17 ZIMEWADIA
SHEREHE za Tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) inatarajiwa kufanyika Mei 24 mwaka huu ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam. Kamati Maalum iliyoundwa kusimamia tuzo hiyo imefanya mabadiliko kiasi kwa kuongeza baadhi ya tuzo ambazo hazikuwepo msimu uliopita lengo ikiwa ni kuboresha tuzo. Tuzo zilizoongezwa …
Read More »AJALI: RAIS MALINZI AWAFARIJI RUVU SHOOTING
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limepokea kwa masikitiko taarifa za kupata ajali kwa msafara wa timu ya Ruvu Shooting FC iliyotokea leo barabara ya Manyoni mkoani Singida wakati kikosi hicho kikitokea Shinyanga kwenda Pwani. Taarifa kutoka Singida zinasema gari hilo lilipata ajali baada ya kupasuka tairi moja la …
Read More »MAKAMU WA RAIS AZINDUA KAMPENI YA MIMI NA WEWE MKOA WA MJINI MAGHARIBI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Mimi na Wewe uliofanyika kwenye uwanja wa Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi Kisonge, mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais) Bila kujali mvua iliyokuwa inanyesha …
Read More »TEA YAKABIDHI MRADI WA UKARABATI WA SHULE YA SEKONDARI PUGU
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Graceana Shirima, akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya Mradi wa Ukarabati wa Shule ya Sekondari Pugu, iliyopo Wilaya ya Ilala Dar es Salaam (katikati) Kaimu Mkurugenzi TEA, Dk. Erasmus Kipesha, na Kaimu Mwanasheria TEA Igenge Edwin. (Picha na Francis Dande). …
Read More »MKUU WA MKOA WA MWANZA MH. JOHN MONGELLA AKISHIRIKI KATIKA MAULID ILIYOFANYIKA JIJINI MWANZA
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kuendeleza Quraan na Sunna Tanzania (JAQUSUTA) Sheikh Hassan Kabeke (kushoto aliyesimama) akizungumza kwenye Maulid iliyofanyika jijini Mwanza juzi, waliokaa kushoto ni Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania Mkoa wa Mwanza (BAKWATA) Sheikh Salum Mohamed Balla, Mkuu wa mkoa John Mongella, kulia wa kwanza ni Sheikh …
Read More »MWENYEKITI KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA ARDHI, MALIASILI NA UTALII AONGOZA SEMINA YA WABUNGE WOTE LEO MJINI DODOMA.
Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Mhandisi Atashasta Ndetiye akiongoza semina ya Wabunge wote inayohusu umuhimu wa uhifadhi wa Maliasili Malikale na Maendeleo ya Utalii nchini Tanzania, iliyofanyika leo Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma. kushoto kwake ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. …
Read More »Wapo Concert: Nay wa Mitego, Shilole, Aandika Historia Dar Live
Tazama Shoo Nzima ya Nay wa Mitego ‘Wapo Concert’ Dar Live – Mbagala ONESHO kabambe la Wapo Concert lililofanyika usiku wa kuamkia leo ndani ya ukumbi wa burudani wa Taifa wa Dar Live hakika liliacha historia kwa mashabiki wengi waliojitokeza kushuhudia onesho hilo ambalo ni la aina yake kufanyika ndani …
Read More »MAJAJI NA MAHAKIMU WATAKIWA KUWA NA MTAZAMO CHANYA WANAPOTEKELEZA MAJUKUMU YAO
Na Magreth Kinabo –Mahakama ya Tanzania. Jaji Kiongozi wa Mahakama ya Tanzania Mhe. Ferdinand Wambali, amewataka Majaji na Mahakimu kuzingatia maadili ya Uhakimu na Utumishi wa Umma na kutenda haki wakati wanapotimiza majukumu yao. Aidha, Jaji huyo alisema Majaji na mahakimu wanaptimiza majukumu yao wanapaswa kuzingatia kanuni za utendaji wao …
Read More »DKT.MABODI: ASEMA ATALINDA MALI ZA CCM KWA GHARAMA YOYOTE.
Afisa milki wa CCM Zanzibar Nd. Mwenemzi Omar Said aliyevaa fulana ya njano akionyesha ramani na mipaka ya Shamba hilo kabla ya kuanza ziara hiyo (katikati) ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Abdalla Juma Saadala “ Mabodi” na kushoto aliyevaa kanzu na kofia ni Kaimu Mkuu wa Utawala Afisi …
Read More »RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WASAINI TAMKO LA PAMOJA LA UTEKELEZAJI WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA LA HOIMA-TANGA
Rais Dkt John Pombe Magufuli na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni wakitia saini tamko la pamoja la kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga nchini Tanzania katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar …
Read More »MAJALIWA AMTEMBELEA RAIS MSTAAFU MKAPA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa wakati alipomtembelea Rais huyo Mstaafu nyumbani kwake jijini Dar es salaam Mei 20, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa wakati alipomtembelea Rais huyo Mstaafu nyumbani kwake jijini Dar es …
Read More »USHIRIKA WA WAUZA MADAGAA WA TUSIYUMBISHANE WAOMBA ‘JEKI’ YA TADB
Wajumbe wa Kikao cha Pamoja kati ya Chama cha Ushirika cha Wauza Madagaa cha Tusiyumbishane kilichopo eneo la Maruhubi mjini Unguja na ugeni wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB). Kikao kilijadilia changamoto zinazozikabili Ushirika huo na namna TADB inavyoweza kuwasaidia katika kuendeleza ushirika huo. Mtaalamu wa Ushirika kutoka …
Read More »LIVE: Mapokezi ya Timu ya Yanga wakitua na Kombe la Ubingwa 2017
RAIS WA ZANZIBAR DK. ALI MOHAMED SHEIN AONGOZA HAFLA YA UCHANGIAJI VIFAA VYA MICHEZO SKULI ZA SERIKALI (1)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Riziki Pembe Juma alipowasili katika viwanja vya Ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Mnazi Mmoja Mjini Unguja jana katika hafla ya uchangiaji wa Vifaa vya michezo katika Skuli za …
Read More »KUTOKA SHAHIRI HADI KUWA KINYWAJI CHA BALIMI EXTRA LARGER
wakulima mbalimbali wakionyesha mashamba ya shahiri mkoani Arusha Shahiri ni moja ya malighafi muhimu katika kutengeneza bia ………………….. –Uzalishaji wake unakuza uchumi na kuleta maendeleo endelevu kwa jamii Safari yenye historia ya kuvutia ya zao la Shahiri hadi kuwa kinywaji cha bia ya Balimi Extra Lager inaanzia mbali na …
Read More »BILIONEA WA URUSI KUINUNUA ARSENAL
Bilionea wa Urusi aliyezaliwa nchini Uzbekistan Alisher Usmanov amewasilisha ombi la pauni bilion moja kuinunua Arsenal kutoka kwa mmiliki wake Stan Kroenke. Huku Kroenke akiwa hana hamu, ombi hilo limekataliwa ijapokuwa Usmanov hajapata uthibitisho woote kupitia maandishi. Gazeti la The Financial Times limeripoti kamba Usmanov aliwasilisha ombi hilo mwezi uliopita …
Read More »MAHAFALI YA 29 YA KIDATO CHA SITA YA SHULE YA SEKONDARI YA AL HARAMAIN JIJINI DAR ES SALAAM
Wahitimu wa kidato cha sita wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, wakiingia kwenye ukumbi wa mahafali wakati wa mahafali yao ya 29, jijini Dar es Salaam jana.(Picha zote na Kassim Mbarouk-www.bayana.blogspot.com) Mwanafunzi wa kidato cha tatu wa Shue ya Sekondari ya Al Haramain, Hairat Hashim akisoma Qur’an katika mahafali …
Read More »TADB: “ATAKAYE NA AJE KUKOPA”
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Bw. Francis Assenga (kushoto) akimsikiliza Katibu na Mwanasheria wa Shirika la Taifa la Biashara Zanzibar (ZSTC), Bw. Ali Hilali Vuai (kulia) wakati wa Kikao cha Wadau wa Karafuu ambapo TADB ilialikwa kuwasilisha mada. Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Taifa la Biashara Zanzibar …
Read More »