Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (katikati) akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Hai, Freeman Mbowe ambaye ni mmoja wa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, mara baada ya kuwasili katika eneo la Kiwanda cha Kuzalisha vigae (tiles) cha Goodwill …
Read More »Daily Archives: August 22, 2017
BANDA AINUSURU BAROKA SWALLOWS DHIDI YA ORLANDO PIRATES MECHI YA LIGI KUU AFRIKA KUSINI
Abdi Banda amefunga bao lake la kwanza katika Ligi Kuu Afrika Kusini (PSL) na kuikoa timu yake ya Baroka Swallows kuwakomalia vigogo, Orlando Pirates kwa sare ya bao 1-1. Baroka FC waliokuwa nyumbani, walikubali kuruhusu bao katika dakika ya 41 baada ya Thabo Qalinge kuinfungia Orlando bao la kwanza. …
Read More »KODI YA PANGO LA ARDHI KIDIGITALI
Mtaalamu wa mfumo wa GePG (Government electronic Payment Gateway) kutoka Wizara ya fedha akielezea faida za mfumo kwa watumiaji pamoja na jinsi ya kuutumia katika kutoa huduma bora. Mafunzo juu ya matumizi ya mfumo wa GePG ya kitolewa kwa maofisa wa ofisi za Ardhi Nyanda za Juu Kusini Wataalamu kutoka …
Read More »Tigo yachimba kisima chenye thamani ya 18m/- kijiji cha Usongelani Tabora
Mkuu wa mkoa wa Tabora, Mhe. Aggrey Mwanry akifungua pazia kuashiria uzinduzi wa kisima cha maji kilichokabidhiwa na kampuni ya Tigo chenye thamani ya Tsh 18m/-kwa kijiji cha Usongelani wilaya ya Urambo mkoani Tabora jana Mkuu wa mkoa wa Tabora, Mhe. Aggrey Mwanry akipampu maji kuzindua kisima cha maji alichokabidhiwa na …
Read More »ZIARA YA RAIS DK.SHEIN WILAYA MICHEWENI KASKAZINI PEMBA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi alipowasili kuweka jiwe la msingi ujenzi wa Soko la samaki na mboga mboga la Konde Wilaya ya Micheweni leo akiwa katika ziara zake katika Mkoa wa Kaskazini Pemba kutembelea Miradi mbali mbali ya Maendeleo,[Picha na …
Read More »JAPAN YAISAIDIA TANZANIA SHILINGI TRILIONI 74 KUTEKELEZA MIRADI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MITANO
Rais wa Shirika la Maendeleo la Japan-JICA, Bw. Shinichi Kitaoka (katikati) akizungumza kuhusu ushirikiano imara kati ya Tanzania na nchi yake, alipokutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), Jijini Dar es Salaam. Kulia kwake ni Balozi wa Japan hapa nchini Bw. …
Read More »ZIARA YA RAIS DK.SHEIN WILAYA YA MICHEWENI PEMBA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la ZSTC Dkt.Said Seif Mzee mara alipowasili katika Shamba la Mikarafuu la Kifundi kwa ajili ya kulikagua shamba hilo na Mikarafuu katika Wilaya Micheweni akiwa katika mwendelezo wa ziara zake katika …
Read More »DOKTA PHILIP MPANGO ATEMBELEA KIWANDA CHA KUUNGANISHA MATREKTA YA URSUS-KIBAHA
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (katikati) akiwasili katika kiwanda cha kuunganisha Matrekta ya URSUS-TAMCO, kilichoko Kibaha mkoani Pwani kuangalia kazi ya uunganishaji matrekta zaidi ya 200 pamoja na kusikiliza changamoto zinazoukabili mradi huo. Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) …
Read More »UK Government Pledges More Support to Tanzania
Tanzania’s Minister of Foreign Affairs and East African Cooperation, Dr. Augustine Mahiga (right) addressing the members of the press about the visit of UK’s Foreign Minister responsible for Commonwealth Office and UK Department of International Development Mr. Rory Stewart. …………………………………………………………………………………… By Staff Writer Government of the United Kingdom has expressed …
Read More »ATCL KUENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA NDEGE ZANZIBAR
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani, akiongea na Baraza la Wawakilishi la Kamati ya Ardhi na Mawasiliano kutoka Zanzibar na uongozi wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), (hawapo pichani), wakati wa ziara ya kikazi ya Kamati hiyo, jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Kamati ya Ardhi …
Read More »WADAU WA KILIMO CHA PAMBA WAKUTANA NA KUJADILI MBINU ZA KUBORESHA ZAO HILO MKOANI GEITA
Wakuu wa Wilaya zilizopo Mkoani Geita pamoja na wabunge na wadau wa Kilimo cha Pamba wakifuatilia kwa makini Mkutano huo. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe ,Dionis Myinga akijitambulisha mbele ya wadau wa sekta ya kilimo cha pamba. Wada wa Kilimo cha Pamba wakiwa kwenye Mkutano …
Read More »Elimu Bure ya JPM Yaikuna Uingereza
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania Balozi Dkt. Augustine Mahiga akizungumza na Waandishi wa Habari alipokuwa akimtambulisha Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika na Idara ya Ushirikiano wa Maendeleo ya Kimataifa, Rory Stewart (kushoto) leo Jijini Dar es Salaam. …
Read More »DKT. KALEMANI AITAKA TANESCO KUUNGANISHA NGUVU KUKAMILISHA MIRADI YA UMEME YA KURASINI NA KIMBIJI
Meneja Mwandamizi wa TANESCO Kanda ya Dar es Salaam na Pwani, Mhandisi Mahende Mgaya, (watatu kushoto), akimpatia maelezo ya maendeleo ya ujenzi wa kituo cha umeme cha Kigamboni, Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani, (wapili kushoto) Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Dkt. Tito Mwinuka, (kulia), akiwa na …
Read More »WATHAMINI WASIO WAADILIFU KUKIONA
Serikali yakemea vitendo viovu vinavyofanywa na wathamini kuhusu uthamini wa fidia na kuahidi kuwachukulia hatua kali za kisheria watumishi wasio waaminifu ikiwemo kuwanyang’anya leseni zao. Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Mthamini Mkuu wa Serikali, Evelyne Mugasha katika kikao kazi cha wathamini wa manispaa zote za Dar …
Read More »“Nimefunga mjadala wa Rambirambi” RC Gambo
RC Gambo akiwakabidhi wazazi wa Doreen Mshana jumla ya Shilingi Milioni 7.75 ikiwa ni bakaa ya michango ya rambirambi. RC Gambo akiwakabidhi wazazi wa Wilson Tarimo jumla ya Shilingi Milioni 7.75 ikiwa ni bakaa ya michango ya rambirambi. RC Gambo akimkabidhi mzazi wa Shadhia jumla ya Shilingi Milioni 7.75 ikiwa …
Read More »Waliopewa Maeneo Kulima Miwa Watakiwa Kuanza Kuyalima
Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO. Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage amewataka wawekezaji waliopewa ardhi kwa ajili ya kilimo cha miwa waanze mara moja kulima zao hilo ili kupata malighafi kwa ajili ya uzalishaji wa sukari. Waziri Mwijage ametoa wito huo leo jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza …
Read More »RAZA AMWAGA ZAWADI MICHEZO YA MASKULI MIKOA
Mkurugenzi Idara ya Michezo na Utamaduni katika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Hassan Khairalla Tawakal, akimtambulisha Mkurugenzi Uendeshaji na Utumishi wa wizara hiyo Omar Ali Bhai kwa Mwenyekiti wa kampuni ya ZAT Mhe. Mohammedraza Hassanali. Mwenyekiti wa ZAT ambae pia ni Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mhe. Mohammedraza …
Read More »DC HAPI ATEMBELEA KIWANDA CHA UTOTOLESHAJI VIFARANGA CHA AKM GLITTERS.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Ali Hapi ametembelea kiwanda cha kuzalisha mayai na kutotolesha vifaranga cha AKM Glitters kilichopo Mbezi Wilaya ya Kinondoni. Katika ziara yake aliyoambatana na kamati ya ulinzi na usalama wa Wilaya alionesha kufurahishwa pale alipokuwa akipatiwa taarifa ya kiwanda hicho kuhusiana na uzalishaji na uendeshaji …
Read More »Tigo, Clouds Wazindua Msimu wa ‘Tigo Fiesta 2017 – Tumekusoma’
Kaimu Meneja wa Masoko Tigo, William Mpinga(katikati) akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa msimu mpya wa Tigo Fiesta 2017 ‘Tumekusomaa’ leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi Tigo Fiesta, Sebastian Maganga na mwakilishi toka Basata, Mrisho Mrisho. Kaimu Meneja …
Read More »SERIKALI YAPOKEA MAONI ILI KUTOA UAMUZI WA MGOGORO WA ARDHI SIMANJIRO
Waziri wa Nchi OR TAMISEMI Mhe. George B. Simbachawene akipatiwa maelezo kutoka kwa Mkuu wa shule ya sekondari Loiborsiret wilayani Simanjiro mkoani Manyara juu ya ujenzi wa madarasa ya shule hiyo ikiwemo ushiriki wa wananchi katika kuchangia juhudi za Serikali. Waziri wa Nchi OR TAMISEMI Mhe. George B. Simbachawene akitoka …
Read More »WENYEVITI MHE. BALOZI ADADI NA MHE. BITEKO WAKUTANA NA WAJUMBE WA CHAMA CHA MABUNGE YA JUMUIYA YA MADOLA TAWI LA CANADA.
Mwenyekiti wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Tawi la Canada ambae pia ni Mbunge, Mhe. Yasmin Ratansi (wa pili kushoto) akizungumza pale ujumbe wa Wabunge kutoka Bunge la Canada ambao ni Wajumbe wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Tawi la Canada ulipotembelea Bunge la Jamhuri ya …
Read More »TIGO YAMKABIDHI MKUU WA TABORA KISIMA CHA MAJI SAFI SALAMA KITAKACHOWAHUDUMIA WAKAZI ZAIDI 250 WA USONGELANI
Na Tiganya Vincent RS-TABORA 22 AGOSTI 2017 Wakazi wa Usongelani wilayani Urambo wameondokana na tatizo ya maji safi na salama baada ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora Bw. Aggrey Mwanri kuzindua kisima chenye uwezo wa kuhudumia watu zaidi 250. Kisima hicho kilichochimbwa na Kampuni ya Simu za Mkononi ya TIGO …
Read More »TAARIFA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MWANZA
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA KWA VYOMBO VYA HABARI LEO TAREHE 22.08.2017 MTU MMOJA AMEUAWA NA KUNDI LA WATU WALIOJICHUKULIA SHERIA MKONONI KWA KOSA LA WIZI WA KUKU WILAYANI KWIMBA. KWAMBA TAREHE 21/08/2017 MAJIRA YA 08:45HRS ASUBUHI KATIKA KITONGOJI CHA BUSULWA KATA YA NGULLA WILAYA YA …
Read More »Viwanda 42 Zaidi Kuunganishwa Mfumo wa Gesi
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Dkt. Charles Mwijage (kushoto) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akielezea jambo kuhusu mikakati wa Serikali ya Tanzania ya viwanda na mpango kazi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika-SADC mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kulia ni Kaimu Mkurugenzi …
Read More »ZAMBI APIGIA DEBE UWEZESHAJI WA KILIMO CHA UFUTA NA MIHOGO
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Bw. Francis Assenga (kulia) akitambulisha msafara wake kwa Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Bw. Godfrey Zambi (hayupo pichani) wakati walipomtembelea ofisini kwake mjini Lindi. Kushoto ni Meneja Mikopo, Bw. Samuel Mshote na Mkurugenzi wa Mikopo na Biashara wa TADB, Bw. Augustino Matutu Chacha (katikati). Kaimu …
Read More »MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KAIMU BALOZI WA MAREKANI NCHINI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Mhe. Inmi Patterson (Katikati) aliyongozana na Ofisa wa masuala ya Siasa Lauren M. Ladenson (kushoto) ofisini kwake, Ikulu jijini Dar es Salaam. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa …
Read More »IGP SIRRO AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MUFTI WA TANZANIA
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro (kulia) akizungumza na Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar Zubeir (kushoto), alipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya BAKWATA jijini Dar es salaam jana. IGP Sirro, alisema Jeshi la Polisi litaendelea kushirikiana na viongozi wa kidini katika kuimarisha amani nchini. Mkuu wa …
Read More »VIDEO – MADIWANI ACHENI KUINGILIA KAZI ZA WATAALAM ” DC MBINGA”
Mkuu wa wilaya ya Mbinga Cosmas Nshenye awajia juu madiwani wanaoingilia kazi za wataalam na kusababisha kurudisha nyuma maendeleo ya wilaya hiyo.
Read More »DK.KIKWETE SIJAANZA KILIMO/UFUGAJI BAADA YA KUSTAAFU WATAKAOSUBIRI KUANZA UZEENI WAMECHELEA
Rais mstaafu wa awamu ya nne ,dk.Jakaya Kikwete,akionyesha baadhi ya mifugo yake na kueleza umuhimu wa Ufugaji wa kisasa ili kupata maziwa ya kutosha na ng’ombe kuwa na afya Rais mstaafu wa awamu ya nne ,dk.Jakaya Kikwete,akionyesha eneo analohifadhi majani ya malisho ng’ombe Rais mstaafu wa awamu ya nne ,dk.Jakaya …
Read More »TATHIMINI KUELEKEA MCHEZO WA KESHO KATI YA SIMBA SC NA YANGA SC NGAO YA HISANI
Na Samuel Samuel Kwa mara nyingine tena jiji la Dar es salaam linakwenda kushuhudia mtanange wa watani wa jadi kati ya Simba SC na Yanga SC katika dimba la kisasa la uwanja wa Taifa milango ya saa kumi na moja kamili. Mechi hii inajulikana sana kama Kariakoo Derby ikishika namba …
Read More »