Timu ya Manchester United imezidi kujiweka katika nafasi nzuri ya kutafuta ubingwa wa Ligi Kuu ya England baada ya kupata ushindi mnono wa jumla ya magoli 4-0 dhidi ya Vibonde Crystal Palace mchezo uliopigwa kwenye dimba la Old Traford. Magoli ya Man United yakifungwa na Fellaini aliyefunga mawili dakika ya …
Read More »Monthly Archives: September 2017
MATOKEO VPL:VIWANJA SITA SARE ZATAWALA ‘NANGWANDA SIJAONA KICHEKO’
Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania bara wamebanwa na kulazimishwa suluhu kwenye uwanja wa Uhuru na kikosi cha Mtibwa Sugar kutoka Turiani, Morogoro. Hii ni mechi ya tatu Yanga wanatoka sare katika ligi ikiwa ni mechi ya tano tangu kuanza kwa ligi msimu huu. Wanajangwani walitoka sare kwa mara ya …
Read More »DC SHINYANGA AWEKA JIWE LA MSINGI NA KUENDESHA HARAMBEE UJENZI WA BWALO LA CHAKULA SHULE YA LITTLE TREASURES
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro leo Jumamosi Septemba 30,2017 ameweka jiwe la msingi katika jengo la Bwalo la Chakula katika shule ya msingi Little Treasures “Little Treasures Nursery & Primary School” iliyopo katika kijiji cha Bugayambelele kata ya Kizumbi katika manispaa ya Shinyanga.
Read More »DC SHINYANGA AKUTANA NA JESHI LA SUNGUSUNGU WILAYA YA SHINYANGA KWENYE ‘SANJO’
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine akizungumza katika mkutano wa jeshi la sungusungu ‘Sanjo’ wilaya ya Shinyanga leo Septemba 30,2017. ****
Read More »KATIBU MKUU MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO BIBI SIHABA NKINGA AFUNGUA KONGAMANO LA WAZEE MJINI DODOMA
Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinisa, Wazee na Watoto Bibi Sihaba Nkinga akizungumza na wazee kwenye Ukumbi wa Shule ya Sekondari Dodoma wakati akifungua Kongamano la Wazee kuelekea Kilele cha Siku ya Wazee Duniani Oktoba Mosi 2017. Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WAMJW Kaimu Kamishna wa Ustawi wa Jamii …
Read More »TSN,TBC ZA TWAA TUZO ZA DSE 2017 PIA ZIPO NMB, TBL NA STANDARD CHARTERED BANK
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dorothy Mwanyika akimkabidhi Tuzo ya Chombo bora cha habari mwaka 2017 (Magazeti), Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Serikali (TSN), Dk. Jim Yonazi (kulia) baada ya Kampuni hiyo kuibuka mshindi katika tuzo za mwaka huu zinazotolewa na Soko la Hisa Dar es Salaam …
Read More »Waagwa kwenda Dafurl Sudan kwa Ulinzi wa Amani
Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Andrew Sattaa akiwakabidhi bendera ya Taifa kwa niaba ya Mkuu wa Jeshi hilo (IGP) Simon Sirro, askari wa Jeshi hilo wanaokwenda Darful, nchini Sudani kushiriki shughuli za Ulinzi wa amani ambapo amewataka askari hao kufanya kazi kwa weledi na kwa kufuata taratibu kwa kipindi chote …
Read More »WANANCHI WA KISANGIRE,KIHARE, TITU,KOLESA NA VIKUMBURU WAPATA MKOMBOZI.
Mbunge wa Kisarawe Selemani Jafo ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi. ……………………………………………………….. Wananchi wa Vijiji vya Titu, Kisangire, Kihare, Kolesa na vikumburu wanatarajia kupata ukombozi kupitia mpango kabambe wa ujenzi wa barabara ya Chole – Titu – Kihare hadi vikumburu utakaoanza muda wowote ndani ya mwaka huu. …
Read More »UFUNGUZI WA AWAMU YA PILI YA UINGIZAJI MAFUTA WA PAMOJA WAFANYIKA ZANZIBAR.
Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Haji Kali Haji akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Awamu ya Pili ya Uingizaji wa Mafuta wa Pamoja Zanzibarkwa miezi miwili Novemba na Disemba, hafla iliofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View kilimani mjini Unguja. Baadhi ya Wawakilishi wa …
Read More »KITUO KIPYA CHA KIMAREKANI CHAZINDULIWA MAKTABA KUU YA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM
Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Dk. Inmi Patterson na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhandisi Stella Manyanya, wakikata utepe katika hafla ya uzinduzi rasmi wa Kituo Kipya cha Kimarekani kilichoanzishwa kwa ubia na Maktaba Kuu jijini Dar es Salaam Ijumaa hii. Hafla hii ilihudhuriwa pia na Mkurugenzi Mkuu …
Read More »RC Rukwa awatahadharisha wananchi kujiandaa na msimu wa mvua
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Kamishna Mstaafu Zelote Stephen amewatahadharisha wananchi wa Mkoa huo kujihadhari na mvua zilizoanza na upepo ulioezua baadhi ya paa za nyumba na vituo vya kutolea huduma katika baadhi ya maeneo ya mkoa. Amesema kuwa sasa ni wakati wa wazazi kuwachunga watoto katika msimu huu wa …
Read More »SEKTA BINAFSI ZAONGEZA NGUVU KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA SINGIDA.
Mratibu wa Ukimwi Mkoa wa Singida Dkt Mohamed Mbalazi akitoa mada katika mkutano ulijadili uboreshaji wa ushirikiano baina ya serikali na wadau wa sekta binafsi zinazotoa huduma ya Afya Mkoani Singida. Afisa Lishe Mkoa wa Singia Teda Sinde akifafanua jambo katika mkutano ulijadili uboreshaji wa ushirikiano baina ya serikali na …
Read More »TAMASHA LA TIGO FIESTA LAFANA MKOANI TABORA
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akizungumza kuhusu usalama wa watu na mali zao ulivyoimalishwa kwenye uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora wakati wa tamasha la Tigo Fiesta usiku wa kuamkia jana. Benpol akiwapagawisha wakazi wa Mkoa wa Tabora katika Tamasha la Tigo Fiesta katika uwanja wa Ali …
Read More »PROF. MAGHEMBE AFUNGUA MAADHIMISHO YA SIKU YA UTALII DUNIANI INAYOFANYIKA KITAIFA MKOANI IRINGA, ATOA WITO KWA WANANCHI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KATIKA VIYA DHIDI YA UJANGILI NCHNI
Na Hamza Temba-WMU ……………………………………………………… Waziri wa Maliasili, Prof. Jumanne Maghembe jana tarehe 30 Septemba, 2017 amefungua rasmi Maadhimisho ya Siku ya Utalii Duniani yanayofanyika kitaifa mkoani Iringa na kutoa wito kwa wananchi kushirikiana na Serikali katika kupambana na Majangili kwa kutoa taarifa za siri zitakazoweza kuwaibaini na kuchukuliwa hatua. …
Read More »Tigo donated 1000 Mobile Smartphones for Mobile Birth registration for Lindi and Mtwara Regions
A RITA official explains to dignitaries including the Minister for Information, Arts, Culture and Sports Hon Dr. Harrison Mwakyembe, the Lindi Regional Commissioner Geodfrey Zambi, Tigo MD Simon Karikari and others how the mobile birth registration works. This was during the launch of the Mobile Birth registration exercise for Lindi …
Read More »MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM- Taifa) RAIS MHE: DKT. MAGUFULI AFUNGUA MKUTANO WA HALMASHAURI KUU YA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM-TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM-Taifa) Rais Mhe Dkt. John Magufuli akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM-Taifa) kabla ya kufungua mkutano huo jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM-Taifa) Rais Mhe Dkt. John Magufuli akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama …
Read More »IGP SIMON SIRRO AFANYA MAZOEZI NA MAOFISA NA ASKARI WA MAKAO MAKUU YA POLISI
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro akiongoza maofisa na askari wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi leo jijini Dar es Salaam katika mazoezi ya pamoja ambayo hufanyika kila mwisho wa mwezi. IGP amewahimiza Makamanda wa Polisi wa Mikoa yote kuhakikisha wanafanya mazoezi ya pamoja ili kuendelea kuboresha …
Read More »Baraza la Mji Chake Chake Pemba lazungumza na wafanyabiashara
Na Masanja Mabula –Pemba BARAZA la Mji Chake Chake Pemba limesema mabadiliko ya kanuni katika sheria namba 7 ya mwaka 2014 sheria ya mamlaka ya serikali za mitaa yamelenga katika kuleta ufanisi wa uwajibikaji kwa wafanyabiashara na wananchi wote Akizungumza na wafanyabiashara hao afisa afya kutoka baraza la mji khamis …
Read More »PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI SEPTEMBA 30,2017
NAIBU WAZIRI JAFO AZINDUA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAZEE DUNIANI KUELEKEA SIKU YA KILELE OKTOBA MOSI 2017 MJINI DODOMA
Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo( wa pili kushoto) akiwasili katika viwanja vya Nyerere Square Mjini Dodoma kuzindua Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani kwa kuzindua maonesho ya shughuli za wazee za ujasiriamali, kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee, na Watoto Bw. …
Read More »JAFO: TUWALINDE WAZEE WETU DHIDI YA MAUAJI
Naibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jafo akizindua rasmi Maadhimisho ya siku ya wazee yaliyozinduliwa kitaifa katika viwanja cha Nyerere Square Mkoani Dodoma. Baadhi ya wazee waliohudhuria katika uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya wazee Duniani. Mmoja wa wazee Mzee Kachenje akitoa neno la shukrani katika uzinduzi …
Read More »Magonjwa ya Moyo Huua Watu milioni 17 Duniani – Dk. Sanga
Na.Paschal Dotto-MAELEZO SERIKALI ya Awamu ya Tano kupitia Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), imewashauri wananchi kujenga utamaduni wa kupima afya mara kwa mara ili kuweza kugundulika mapema iwapo wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali. Hayo yamesemwa na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi hiyo, Tulizo Sanga alipozungumza na waandishi …
Read More »UTIAJI SAINI WA MKATABA WA UJENZI WA MRADI WA RELI YA KISASA
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hodhi ya Rasilimali za Reli (RAHCO) Masanja Kadogosa (kulia) na pamoja na Mjumbe wa Bodi kutoka Kampuni ya Ukandarasi ya Yapi Merkezi Insaat ya nchini Uturuki wakisaini Mkataba wa ujenzi wa mradi wa Reli ya Kisasa kutoka Morogoro- Makutopora (Dodoma). Halfa hiyo ilifanyika leo Septemba …
Read More »JAFO AWAPONGEZA GAIRO KWA UJENZI WA JENGO LA HALMASHAURI
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi Selemani Jafo akizungumza katika uwekaji jiwe la msingi kwenye ujenzi wa jengo la Halmashauri ya wilaya ya Gairo mkoani Morogoro. Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi Selemani Jafo akiweka jiwe la msingi katika jengo la Halmashauri ya wilaya ya Gairo mkoani Morogoro. Mbunge wa …
Read More »NMB YAWANOA WALIMU MKOANI GEITA
Mkuu wa kitengo cha Biashara Kwa Wateja Binafsi na Mauzo wa NMB Omar Mtiga Akizungumza na walimu wakati wa Kongamano ambalo limeandaliwa na NMB Kwenye Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Geita. Baadhi ya walimu ambao wanatoka kwenye halmashauri zilizopo Mkoani Geita wakifuatilia Hotuba ya Mkuu wa kitengo …
Read More »Prof. Maghembe Afungua Maonesho ya Utalii
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Prof. Jumanne Maghembe (kushoto),aliyefungua rasmi maonesho ya Utalii ya Karibu Kusini, akikaribishwa na Meneja wa Kiwanja cha Ndege cha Iringa kilichopo Kata ya Nduli kwenye banda la maonesho la Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), yanayofanyika kwenye viwanja vya Kichangani.. Mhandisi Kedrick Chawe …
Read More »LIGI DARAJA LA PILI KUANZA SEPTEMBA 30, 2017
Ligi Daraja la Pili Tanzania Bara (SDL), inatarajiwa kuanza Septemba 30, mwaka huu kwa timu kuchuana katika viwanja vitano tofauti. Kwa mujibu wa Ratiba ambayo imeambatanishwa, michezo ya siku hiyo itakuwa ni kati ya Abajalo na Cosmopolitan; Namungo na Reha kutoka Kundi A wakati kundi B kutakuwa na mchezo kati …
Read More »LIGI DARAJA LA KWANZA KUENDELEA KESHO
Baada ya Ashanti United na Friends Rangers kuchuana leo Ijumaa, mechi nyingine za ligi hiyo zitaendelea kesho Jumamosi Septemba 30, mwaka huu. JKT Ruvu na Kiluvya United zinatarajiwa kucheza kesho kwenye Uwanja wa Mbweni katika mchezo wa kundi A kama ilivyokuwa kwa timu ambazo zimecheza leo – Ashanti na Friends. …
Read More »VPL: MECHI SABA KUCHEZWA KESHO, MOJA JUMAPILI
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), inatarajiwa kuendelea kesho Jumamosi Septemba 30, mwaka huu kwa michezo saba itayochezwa kwenye viwanja tofauti nchini. Kwa siku ya Jumapili Oktoba mosi, mwaka huu kutakuwa na mchezo mmoja tu. Katika ligi hiyo ambayo Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imeifanya tathimini ya …
Read More »TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE YASHEREHEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA MOYO DUNIANI ‘YATOA HUDUMA YA UPIMAJI WA AFYA NA KUGAWA DAWA BURE KWA WANANCHI’
Afisa Lishe wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Louiza Shem akitoa elimu ya lishe bora kwa afya bora ya moyo wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Moyo Duniani yaliyofanyika leo katika viwanja vya Taasisi hiyo. Pamoja na kutoa elimu ya afya bora Taasisi hiyo imetoa huduma ya upimaji …
Read More »