Madarasa ya shule ya msingi ya Tologo ambayo yamejengwa na wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu. Evarist Pascal ambaye ni mchimbaji mdogo akitoa maelezo kwa mkuu wa Wilayaya Geita(ambaye yupo katikati)shughuli za ujenzi na ghalama ambazo zimetumika kujenga madarasa hayo. Mkuu wa wilaya ya Geita,Mwl Herman Kapufi akishukuru kwa …
Read More »Daily Archives: November 13, 2017
MAADHIMISHO YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI YAZINDULIWA MKOA WA SHINYANGA
Mkoa wa Shinyanga leo Jumatatu Novemba 13,2017 umezindua maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani yenye kauli mbiu “Zuia ajali,Tii sheria,Okoa Maisha”.
Read More »DC SHINYANGA AZINDUA MRADI WA MTOTO MWEREVU
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro amezindua mradi wa Mtoto Mwerevu unaolenga kuwapatia lishe watoto wenye umri wa siku 1000 katika kata tano za manispaa ya Shinyanga ambazo ni Kizumbi,Ibadakuli, Chamaguha,Mwawaza na Mwamalili.
Read More »DK. KIGWANGALLA AFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WAWILI (UJERUMANI NA CHINA) OFISI KWAKE MJINI DODOMA LEO KUHUSU MAENDELEO YA UHIFADHI NA UTALII NCHINI
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla (kulia) akisalimiana na Balozi wa Ujerumani nchini, Dk. Detlef Wächter ofisini kwake mjini Dodoma leo ambapo wamejadili mambo mbalimbali ya kuimarisha ushirikiano baina ya Tanzania na Ujerumani katika kuendeleza Uhifadhi na Utalii nchini. Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla (kulia) akizungumza na …
Read More »Tume Ya Uchaguzi Yakutana Na Vyama Vya Siasa Kuelekea Uchaguzi Mdogo
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Semistocles Kaijage (wa tatu kulia) akiwa meza kuu na Makamu Mwenyekiti Jaji Mst. Hamid Mahmoud Hamid( wa tatu kushoto), Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima Ramadhani )wa pili kulia), Makamishna wa NEC Jaji Mst. Marry Longway na Asina Omari na kulia ni Mwakilishi …
Read More »WAZIRI WA VIWANDA,MHE.MWIJAGE AKUTANA NA BALOZI WA JAMHURI YA WATU WA CHINA NA KUJADILI MASUALA YA UWEKEZAJI NA USHIRIKIANO BAINA YA NCHI HIZO MBILI
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Charles Mwijage (Mb, akizungumza na balozi wa Jamhuri ya watu wa China nchini Tanzania Mhe, Bi. Wang Ke. Balozi wa China nchini Tanzania Mhe, Bi. Wang Ke (wa pili kulia), akiagana na Mhe. Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe. Charles Mwijage, wa …
Read More »Serikali Yarejesha Umiliki Halali wa Kiwanja Kilichouzwa Kwa Hati Za Kughushi
Frank Mvungi- Maelezo, Dodoma Serikali imerejesha hati ya Kiwanja Namba 9331 kilichopo kitalu namba 91 Msalato Dodoma kwa mmiliki wake halisi Bw. Sagaf Omari na Bi Madina Hassan ambao ni wamiliki halali wa kiwanja hicho kilichouzwa kwa Bw. Lucas Mlay wa Jijini Dar es Salaam kwa shilingi milioni 35 kwa …
Read More »Shirika la Amref Lazindua Mradi wa Uchechemuzi Katika Sekta Ya Afya Mkoani Shinyanga
Shirika la Amref Health Africa hii leo limezindua mradi wa uchechemuzi katika sekta ya afya (Health System Advocacy HSA) mkoani Shinyanga, wenye lengo la kuongeza ushawishi katika sekta ya afya ili kuboresha zaidi sekta hiyo mkoani humo. Meneja mradi huo, Josiah Otege amesema lengo ni kufanya uchechemuzi (ushawishi) katika maeneo …
Read More »SHIRIKA LA FOUNDATION FOR CIVILI SOCIETY WAPANGA KUSAIDIA WATOTO WANAOTIBIWA MOI
Katika kuhakikisha kuwa wanaisaidia Jamii inayowazunguka shirika lisilo la kiserikali la The Foundation Foundation for civil Society limejipanga kuwasaidia watoto wenye matatizo ya vichwa vikubwa na mgongo wazi wanaopatikana katika Taasisi ya mifupa MOI jijini Dar es salaam ikiwa ni muendelezo wa shirika hilo kuadhimisha siku yao maarufu ya “GIVING …
Read More »TABOA, UWADAR Wakanusha Taarifa ya Mgomo Inayosambaa Mitandaoni
Na. Jacquiline Mrisho – MAELEZO. Chama cha Wamiliki wa Mabasi Yaendayo Mikoani (TABOA) na Umoja wa Wasafirishaji Abiria Jijini Dar es Salaam (UWADAR) wamekanusha taarifa inayosambazwa kwenye mitandao kuwa Novemba 14 mwaka huu watakuwa na mgomo wa kusitisha huduma za usafirishaji. Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es Salaam na …
Read More »SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI MPYA WA CHINA NCHINI TANZANIA
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Balozi mpya wa China nchini Tanzania, Mheshimiwa Balozi Wang ke (kulia) alipotembelea leo ofisini kwake Mjini Dodoma. Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Balozi mpya wa China nchini Tanzania, Mheshimiwa Balozi Wang ke (kulia) alipotembelea leo …
Read More »Mchango wa Asasi za Kiraia kwenye Rasilimali Madini, Mafuta na Gesi
Mkurugenzi wa Taasisi ya Demokrasia na Utawala Bora Vijijini ADLG iliyopo Jijini Mwanza, Jimmy Luhende akichangia mada kwenye Mkutano wa Sekta ya Uziduaji 2017 uliofanyika Mjini Dodoma. Novemba 02-03, 2017 ulifanyika Mkutano wa Sekta ya Uziduaji (Madini, Mafuta na Gesi) Mjini Dodoma ambapo miongoni mwa maazimio kwenye mkutano huo ni …
Read More »MAELEZO TV :WAZIRI MPINA ATOLEA UFAFANUZI UCHOMAJI WA VIFARANGA
USAJILI TIMU ZA WANAWAKE WATANGAZWA
Wakati Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara, ikitarajiwa kuanza Novemba 26, 2017 katika vituo viwili vya Dar es Salaam na Arusha, tayari usajili wa msimu kwa timu zote 12, umekamilika. Kwa mujibu wa kalenda ya mashindano, usajili ulipangwa ufanyike kati ya Oktoba 25 na Novemba 12, mwaka huu na kwamba …
Read More »Serikali Yaionya Manispaa ya Kigoma Ujiji Ushiriki OGP
Na Beatrice Lyimo-MAELEZO, Dodoma Serikali imeitaka Manispaa ya Kigoma Ujiji kutekeleza uamuzi wa Serikali Kuu wa kujiondoa kwenye Mpango wa Uendeshaji wa Shughuli za Serikali kwa Uwazi(OGP) la sivyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa. Agizo hilo limetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na …
Read More »BENKI YA KILIMO YATUPIA JICHO MIRADI YA KILIMO ZANZIBAR
Kaimu Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Biashara la Zanzibar (ZSTC) ambao walikuwa wenyeji wa TADB, Bw. Ussi Mohamed Juma (aliyesimama) akizungumza na ugeni huo. Mazungumzo hayo yalifanyika katika Makao Makuu ya ZSTC Kinazini, Zanzibar. Mwakilishi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa TADB, Bibi Rosebud Kurwijila, Bibi Rehema Twalib, ambaye …
Read More »MAELEZO TV “UWANJA WA NDEGE WA CHATO KUSAIDIA USAFAIRISHAJI WA BIDHAA ZA MADINI”-NAIBU WAZIRI NYONGO
LULU AKIONDOLEWA MAHAKAMANI MARA BAADA YA KUHUKUMIWA MIAKA MIWILI
Wafanyakazi wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Watakiwa kuzingatia Kanuni na Sheria katika kutekeleza Majukumu
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bibi. Suzan Mlawi akizungumza na Watumishi wa Wizara hiyo waliopo katika kituo cha Dar es Salaam leo ambapo amewataka kufanya kazi kwa bidii na kufuata Sheria za Utumishi wa Umma. Na Anitha Jonas – WHUSM Dar es Salaam Katibu Mkuu …
Read More »IDARA YA MAAFA YAWAJENGEA UWEZO WAJUMBE WA KAMATI YA SHERIA NDOGO YA USIMAMIZI WA MAAFA
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria ndogo inayohusu dhana, sheria na mfumo wa usimamizi wa maafa Mhe. William Ngeleja akitoa maelezo ya awali kuhusu utendaji kazi wa kamati hiyo wakati wa Warsha ya siku moja kwa wabunge wa Kamati hiyo iliyoandaliwa na Idara ya Uratibu wa …
Read More »WAZIRI MWAKYEMBE:WATANZANIA JITOKEZI KUMSHANGILIA BONDIA WETU IBRAHIM CLASS
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe(kulia) akitoa wito kwa watanazania kujitokeza kwa wingi uwanja wa uhuru tarehe 25/11/2017 kushangilia pambano la bondia Ibrahim Class (kushoto) wanchini akitetea ubingwa wa dunia uzito wa kati na bondia Koos Sibiya wa Afrika Kusini leo jijini Dar …
Read More »MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU BUNGENI MJINI DODOMA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungungumza na Mbunge wa Urambo Tabora, Magreth Sitta, nje ya Jengo la Utawala la Bunge mjini Dodoma Novemba 13, 2017.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Korogwe Vijijini, Joseph Ngonyani(Maji Marefu) nje ya Jengo la Utawala la …
Read More »NAIBU SPIKA ACHANGISHA MILIONI 150 KWA AJILI YA HOSPITALI YA WILAYA YA NAMTUMBO
Shilingi milioni 150 zimeshangishwa ikiwa ni fedha taslimu na ahadi kwa ajili kujenga chumba cha upasuaji na wodi ya wazazi katika hospitali ya wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma.
Read More »MAHAKAMA YAMHUKUMU ‘MSANII LULU’ MIAKA 2 JELA KWA KIFO CHA KANUMBA
Leo Novemba 13, 2017 Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam, imemuhukumu msanii maarufu wa filamu nchini, Elizabeth Michael “Lulu” kutumikia kifungo cha miaka miwili gerezani baada ya kupatikana na hatia ya mauaji ya bila kukusudia ya msanii mwenzake marehemu Steven KanumbaHukumu hiyo imesomwa na Jaji Sam …
Read More »Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari wakutana na Watumishi wa kituo cha Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bibi. Suzan Mlawi akizungumza na Watumishi wa Wizara hiyo waliopo katika kituo cha Dar es Salaam leo ambapo amewataka kufanya kazi kwa bidii na kufuata Sheria za Utumishi wa Umma. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. …
Read More »WAKULIMA WA MPUNGA KATIKA SIKUMU YA USSOKE MLIMANI WAPEWA SIKU SITA KUKAMILISHA MIFEREJI YA USAMBAZAJI MAJI MASHAMBANI MWAO.
NA TIGANYA VINCENT-RS –TABORA WAKULIMA wa Mpunga katika Mradi wa Umwagiliaji wa Ussoke Mlimani na Yelayela ambao hadi hivi sasa hawajakamilisha uchimbaji wa mifereji inasambaza maji kutoka mfereji mkuu kwenda kwenye mashamba yao wametakiwa kuhakikisha wamekamilisha zoezi ndani ya wiki hii. Kauli hiyo imetolewa hivi karibuni katika eneo la mradi …
Read More »Mtwara Washeherekea Msimu Wa Tamasha La Tigo Fiesta
Msanii Jux akitoa burudani kwenye tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara usiku wa kuamkia jumapili. Janjaro akitumbuiza katika tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara usiku wa kuamkia jumapili. Genevieve Mpangala akitumbuiza katika jukwaa la TIgo fiesta mapema usiku wa …
Read More »MBIO ZA TIGO DODOMA HALF MARATHON ZAFANA
Wafanyakazi wa Tigo walioshiriki katika mbio ndefu za Tigo Dodoma Half Marathon wakiwa na bango linalosema ‘Tumekusoma’ kabla ya kuanza kwa mbio hizo ndefu jijini Dodoma leo. Tumekusoma ni kampeni mpya ya Tigo inayolenga kuwapa wateja wake urahisi wa kutumia huduma za simu pamoja na faida zaidi za bonasi kila …
Read More »WATUMISHI WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII WAMUAGA ALIYEKUWA MKURUGENZI MSAIDIZI WA IDARA YA UTALII, BI.UZEELI KIANGI BAADA YA KUSTAAFU KWA MUJIBU WA SHERIA YA UTUMISHI WA UMMA
Baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii wakiwa kwenye picha ya pamoja mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam na aliyekuwa Mkurugenzi Msaidizi wa kusimamia Sehemu ya Maendeleo ya Utalii katika Idara ya Utalii, Bi. Uzeeli Kiangi (katikati) katika hafla fupi ya kumuaga baada ya kustaafu mapema mwezi …
Read More »KAMPUNI YA TATU MZUKA IKISHIRIKIANA NA NAIBU WAZIRI MAVUNDE WAKABIDHI MATOFALI 3000 NA MIFUKO YA SARUJI 100 KWA AJILI YA UJENZI WA SHULE ZA MSINGI MPYA ZA MBANDE NA MUUNGANO MKOANI DODOMA
Naibu Waziri wa Kazi, Ajira na Vijana Antony Mavunde mwishoni mwa wiki amekabidhi matofali 3000 na mifuko ya saruji 100 katika Kata ya Makutupora kwa ajili ya kuanza awamu ya kwanza ya ujenzi wa Shule za Msingi Mpya za Mbande na Muungano Wilaya ya Dodoma mjini mkoani Dodoma. Msaada huo …
Read More »