Daily Archives: April 13, 2018
Dkt. Harrison Mwakyembe Atoa Maagizo Mazito kwa Uongozi wa StarMedia na TBC
SERIKALI YAFAFANUA MKATABA STARMEDIA, RUZUKU VIWANDA VIDOGO Dodoma, April 13, 2018: Serikali imefafanua hatua zilizochukuliwa kuhakikisha Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) linafaidika na kampuni ya ubia ya StarMedia, huku ikisisitiza kuwa uongozi wa sasa chini ya Rais John Pombe Magufuli umefanya mageuzi makubwa na ya kihistoria katika kuwawezesha wajasiriamali wadogo …
Read More »WATAFITI WA KODI AFRIKA WAJENGEWA UWEZO
Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Michael John akimkabidhi mshiriki kutoka Tunisia Bw. Jabali Belhanssen cheti cha ushiriki wa mafunzo ya utafiti ambayo yafanyika jijini Dar es Salaam kwa ushirikiano wa Taasisi ya Usimamizi wa Kodi Afrika (ATAF) na Chuo cha Kodi (IAT). …
Read More »MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA UNICEF NA BALOZI WA JAPAN LEO
Makamu wa Rais akisalimiana na Mwakilishi wa UNICEF nchini Bi. Maniza Zaman aliyefika ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu jijini Dar es Salaam. Makamu wa Rais akizungumza na Mwakilishi wa UNICEF nchini Bi. Maniza Zaman leo ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu jijini Dar es Salaam. Makamu wa Rais akizungumza …
Read More »ADAM SALAMBA MCHEZAJI BORA MWEZI MACHI LIGI KUU YA VODACOM
MSHAMBULIAJI wa Lipuli ya Iringa, Adam Salamba amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Machi wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL)Tanzania Bara. Salamba alitwaa tuzo hiyo baada ya kuwashinda wenzake wawili, Salum Kimenya wa Prisons na kipa wa Azam, Mwadini Ally katika uchambuzi uliofanywa wiki hii na Kamati ya Tuzo hizo. Mshambuliaji huyo …
Read More »WAFANYABIASHARA NCHINI WATAFUTIWA SOKO UFARANSA
Wafanyabiashara nchini kutafutiwa Soko Ufaransa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kupitia Ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa kwa kushirikiana na Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), inaratibu ziara ya viongozi wa makampuni ya biashara zaidi ya 30 kutoka Ufaransa ambao ni wanachama wa Taasisi ya …
Read More »BAYERN MUNICH YAMTANGAZA KOCHA MPYA KUANZA MSIMU UJAO
Uongozi wa Bayern Munich umetangaza kuingia mkataba wa miaka mitatu na Kocha Eintracht Frankfurt, Niko Kovac. Kovac atakuwa anachukua mikoba ya Jupp Heynckes ambaye alikuwa akiitumikia klabu hiyo kwa muda kufuatia kuondoshwa kwa Carlo Acelotti aliwezesha Bayern kuchukua taji la 6 mfululizo katika ligi. Heynckes anajiandaa kuondoka Bayern Munich huku akiwa …
Read More »RC MAKONDA AFURAHISHWA NA KINABABA WANAOENDELEA KUKUBALI KWA MAANDISHI KUTUNZA WATOTO
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda amesema zoezi la kudai haki za watoto waliotelekezwa limefanikiwa kwa kiasi kikubwa ambapo kati ya kinababa 226 waliofika kutii wito wake takribani kinababa 205 wamekubali kwa maandishi kuwahudumia watoto wao na 21 wamepimwa DNA. RC Makonda amesema tangu kuanza kwa …
Read More »MATUKIO KATIKA PICHA WAZIRI MWAKYEMBE NA WAZIRI MWIJAGE WAKIJIBU HOJA ZA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI
Waziri wa Habari, utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza na waandishi wa habari alipokuwa akitoa ufafanunuzi kuhusu hoja zilizoibuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu mkataba kati ya kampuni ya ubia ya StarMedia na Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), leo mjini …
Read More »STARTIMES NA TBC ZASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) MJINI DODOMA
Kampuni ya Star Media (T) Ltd yenye chapa ya StarTimes pamoja na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) zimetiliana saini Mkataba wa Makubaliano mjini Dodoma. Mkataba huo Mpya utasaidia Kampuni zote mbili kunufaika na ushirikiano huo. Waziri Mwakyembe alisema kwamba huu utakuwa ni ukurasa mpya kwa pande zote mbili, “kama …
Read More »MATUKIO KATIKA PICHA YALIYOJIRI LEO TAREHE 13 APRILI, 2018 BUNGENI MJINI DODOMA
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kulia) akisalimiana na Mheshimiwa Saul Amon (kushoto) leo katika Viwanja vya bunge Mjini Dodoma. Katikati ni Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mwenye miwani), anaefuata ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kutoka Mkoa wa Mbeya, Ndg. Jacob Mwakasole na wengine ni …
Read More »MABONDIA IDD MKWERA NA RAMADHANI SHAURI WASAINI KUZIPIGA MEI 5 UWANJA WA NDANI WA TAIFA
Promota wa mpambano wa ngumi Evalist Ernest katikati akiwainua mikono juu mabondia Iddi Mkwera kushoto na Ramadhani Shauri baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga Mei 5 katika ukumbi wa Uwanja wa ndani wa Taifa mpambano wa raundi kumi Promota wa mpambano wa ngumi Evalist Ernest katikati akimkabidhi mkataba wake bondia …
Read More »KATIBU MKUU TARISHI ATETA NA KIKOSI KAZI CHA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI CHA KUBORESHA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Waziri Mkuu na Bunge) Maimuna Tarishi akifuatilia kikao na Kikosi kazi cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi, leo mjini Dodoma tarehe 13 Aprili, 2018. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Waziri Mkuu na Bunge) Maimuna Tarishi akiongoza kikao na Kikosi kazi cha Tume ya …
Read More »ARSENAL NA ATLETICO MADRID, MARSEILLE NA SALZBURG NUSU FAINALI EUROPA LEAGUE
Droo ya timu zitakazocheza hatua ya nusu fainali ya UEFA Europa League tayari imeshapangwa ambapo Arsenal itakutana na Atletico de Madrid ya Spain. Arsenal ilifuzu kuingia hatua hiyo baada ya kuibuka na ushindi wa jumla ya mabao 6-3 dhidi ya CSKA Moscow ya Urusi. Arsenal wataanzia nyumbani Aprili 26 kwa …
Read More »LIVERPOOL NA ROMA, REAL MADRID NA BAYERN MUNICH NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA
Droo ya timu zitakazokutana hatua ya nusu fainali, Ligi ya Mabingwa Ulaya tayari imeshapangwa. Liverpool itaanzia nyumbani dhidi ya AS Roma huku Real Madrid ikiwa ugenini kuikabili Bayern Munich. Mechi za mkondo wa kwanza zitapigwa kati ya tarehe 24/25 Aprili 2018 huku za marudiano zikichezwa kati ya tarehe 1/2 …
Read More »RC TABORA: VIONGOZI MSIGEUZE USHIRIKA KUWA KICHAKA CHA KUFICHA MAOVU
Baadhi ya viongozi wa Vyama vya Msingi vya Ushirika wa Pamba ambavyo ni wanachama wa Chama Kikuu cha Ushirika cha Ingembensabo wakifuatilia ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 22 uliofanyika mjini Igunga jana. Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika cha Ingembensabo Lazaro Ngullo(kulia) akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Tabora kwa ajili …
Read More »MWENYEKITI WA BAVICHA MANISPAA YA IRINGA AIPONGEZA FAMILIA YA ASAS KWA KUBORESHA SEKTA YA AFYA
Wahenga wanasema hujafa hujaumbika. Na ule msemo usemao kwamba maendeleo hayana vyama ni hakika na bayana. Mwezi January mwaka huu nilikamatwa na jeshi la polisi na kuwekwa mahabusu kwa siku 8 kesi ya kisiasa , Hali hiyo ilimpelekea mke wangu Stellah ambaye alikuwa mjamzito kupata mshutuko na kuharibu …
Read More »Tigo Pesa Yapata Uthibitisho wa Huduma za Kifedha Kutoka Shirika la Kimataifa la GSMA
Afisa Mkuu wa Huduma za Fedha kwa Simu za Mkononi wa Tigo Tanzania, Hussein Sayed (kushoto) akizungumza na waandishi kuhusu uthibitisho wa kimataifa wa huduma za fedha kwa njia ya simu ujulikanao kama ‘GSMA Mobile Money Certification’ ambao huduma ya kifedha ya Tigo Pesa imetunukiwa katika kongamano la Mobile …
Read More »MKURUGENZI HUDUMA ZA UFUNDI SEKTA YA UJENZI AFUNGUA BARAZA LA WAFANYAKAZI TEMESA
Mtendaji mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme TEMESA Dkt. Mussa Mgwatu akisoma taarifa kwa mgeni rasmi, wajumbe na watendaji hawapo pichani wakati wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa wakala huo kilichofanyika katika ukumbi wa Mt. Depot jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Uendeshaji wa wakala huo …
Read More »TANZANIA YAVUNJA REKODI TUZO ZA KIMATAIFA ZA DStv EUTELSAT STAR
Rasheed Taher aiingiza Tanzania kwenye nchi zilizowahi kuwa washindi Kampala, Paris, 13 April 2018 – Tanzania imevunja rikodi kwenye Tuzo za kimataifa za wanafuzi zijulikanazo kama DStv Eutelsat Star Awards baada ya mwanafunzi Taher Rasheed kutoka shule ya Al-Madrasat Us-saifiyatul Burhaniyah ya Dar es salaam kushinda nafasi ya kwanza katika …
Read More »IT’S TIME TO TURN YOUR HOUSE TO A HOME!!
JUMIA FIX MY HOUSE. It’s time to turn your House to a HOME!! A house can be any basic unit of dwelling, whether its an apartment, a super modern glass box or anything else in between. The form of the house never matters as much as what goes inside because …
Read More »UZINDUZI WA PROGRAM YA MAFUNZO YA KUJIAJIRI NA KUONDOA UMASKINI WAFANYIKA
Baadhi ya Madereva wanaokwenda Nchini Qatar kufanya kazi ya Udereva kupitia Programu ya Mafunzo ya Kujiajiri na kuondoa Umaskini(Skill development and trade market) iliozinduliwa na Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Maudline Cyrus Custico katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni Mjini Zanzibar. Mkurugenzi wa Ajira …
Read More »WAZIRI DKT.MWAKYEMBE AMTEUA ENG.DKT.RICHARD JOSEPH MASIKA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA CHUO CHA MICHEZO MALYA
DC MTWARA MHE.MMANDA AKATA UTEPE UZINDUZI WA MKATABA WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA OFISI YA MKUU WA MKOA
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Evod Mmanda akikata utepe kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa Mtwara kuashiria uzinduzi wa Mkataba wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Uzinduzi huo umefanyika Leo katika ukumbi wa Boma Mkoa ulioko Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Baada ya uzinduzi …
Read More »DK.TUMAINI AACHIA VIDEO YA ‘NINA FURAHA’
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam. Mwimbaji wa muziki wa Injili pia ni mwandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi, Dk Tumaini Msowoya amefanikiwa kuachia video yake mpya ya wimbo unaoitwa ‘Nina Furaha’. Akizungumza na waandishi wa Habari, Dk Tumaini alisema video hiyo ni ipo kwenye albamu yake ya ‘Hakuna …
Read More »TEWW KUENDELEA KUWA KITOVU CHA KUTOA ELIMU BORA
Mkuu wa Idara ya Elimu Masasa (teww) Bw. Baraka Kionywaki akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya umuhimu wa kuwekeza katika masomo ya fikizia na kemia katika elimu nje ya mfumo rasmi nchini tanzania. kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa taasisi hiyo Dkt. Kassimu Nihuka . Wataalamu wa …
Read More »Wadadisi wa Utafiti wa Sekta Isiyo Rasmi Waaswa Kuepuka Udanganyifu
Mkurugenzi wa Idara za Kiufundi na Huduma za Kitakwimu kutoka Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Bw. Ally Idrisa Shamte akifunga mafunzo ya Wadadisi wa Utafiti wa sekta isiyo rasmi nchini mapema leo mjini Dodoma. Mratibu wa MKURABITA Bibi Serapia Mgembe akiwaasa wadadisi wa utafiti wa Sekta …
Read More »