Mwandishi Mathias Canal akionyesha cheti cha ndoa aliyoifunga Jumamosi tarehe 18 Agosti 2018 katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT) usharika wa Mabibo Farasi Jijini Dar es salaam na mkewe Bi Elizabeth Chagamba. Mwandishi Mathias Canal na mkewe Bi Elizabeth Chagamba (walioketi) pamoja na watumishi wa Wizara ya Kilimo …
Read More »Daily Archives: August 23, 2018
ZANTEL YATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAZEE ZANZIBAR
Mmoja wa wazee akipokea msaada wa chakula kutoka kwa mkuu wa Zantel Zanzibar,Mohammed Khamis Mussa (Baucha) Afisa Mtendaji Mkuu wa Zantel Zanzibar, Mohammed Khamis Mussa (Baucha)akiongea wakati wa hafla ya kutoa msaada wa chakula kwa wazee. Mkurugenzi wa Ustawi wa jamii Zanzibar,Ally Suleiman Abeid, akiongea wakati wa hafla hiyo. Baadhi …
Read More »ASKARI MAGEREZA NCHINI WAONYWA KUHUSU MATUMIZI MABAYA YA MITANDAO YA KIJAMII
Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike akisalimiana na Maafisa wa Jeshi la Magereza mara baada ya kuwasili katika Gereza la Wilaya Singida leo Agosti 23, 2018 tayari kwa ziara yake ya kikazi ya siku moja yenye lengo la kukagua shughuli mbalimbali za uendeshaji wa Jeshi hilo Mkoani Singida. Kamishna Jenerali …
Read More »YANGA YAANZA VYEMA LIGI KUU TANZANIA,YAICHAPA MTIBWA SUGAR ‘MAKAMBO AENDELEA KUWASHA MOTO
Mabingwa wa kihistoria Yanga wameanza vyema Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam. Ushindi huo ni wa pili mfululizo kwa Yanga baada ya Jumapili kuichapa USM Alger 2-1 pia katika mchezo wa Kundi D Kombe …
Read More »KIKOSI CHA MTIBWA SUGAR DHIDI YA YANGA MECHI YA LIGI KUU TANZANIA BARA
1-Benedict Tinoco 2-Ally Shomary 3-Issa Rashid Baba Ubaya 4-Cassian Mponera 5-Hassan Isihaka 6-Shaban Nditi 7-Salum Kihimbwa 8-Henry Joseph 9-Kelvin Sabato 11-Ismail Mhesa SUBs -Shabaan Kado -Issa Kajia -Ally Makarani -Haruna Chanongo -Ayoub Semtawa -Riphat Khamis -Stamil Mbonde
Read More »KIKOSI CHA AZAM FC DHIDI YA MBEYA CITY MECHI YA LIGI KUU TANZANIA BARA
Mechi ya Ligi kuu Tanzania Bara Azam FC dhidi ya Mbeya City uwanja wa Azam Complex Chamazi nje kidogo ya Jijini la Dar es salaam utapigwa majira ya saa 2:00 usiku 1-Razak Abalora 2-Nicolas Wadada 3-Bruce Kagwa 4-Abdallah Kheri 5-Agrey Moris 6-Mudathir Yahya 7-Joseph Mahundi 8-Frank Domayo 9-Danny Lyanga 10-Tafadzwa …
Read More »KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA MTIBWA SUGAR LIGI KUU TANZANIA BARA
Mechi ya ligi Kuu Tanzania Bara Yanga dhidi ya Mtibwa Sugar Muda ni saa 12:00 jioni Uwanja wa Taifa Jijini Dar es salaam 1-Benno Kakolanya 2-Juma Abdul 3-Gadiel Michael 4-Andrew Vicent Dante 5-Kelvin Yondani 6-Abdalah Shaibu Ninja 7-Deusi Kaseke 8-Papy Tshishimbi 9-Heriter Makambo 10-Feisal Salum Fei Toto 11-Mrisho Ngassa SUBs …
Read More »TANZANIA YAZINDUA MFUMO WA TAIFA WA HUDUMA ZA HALI YA HEWA
Naibu Waziri wa Vijana na Kazi Mhe. Anthony Mavunde (MB), Katibu Mkuu (Sera na Uratibu), Ofisi ya Waziri Mkuu Prof. Faustin Kamuzora ambaye pia ni mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usimamizi wa Maafa na Katibu Mkuu wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) Prof. Petteri Taalas wakionesha mfumo …
Read More »UN WOMEN KUENDELEA KUTOA MSAADA KWA WANAWAKE TANZANIA
Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia Wanawake (UN Women), Phunzile Mlambo- Ngcuka, akisalimiana na wanawake wajasiriamali baada ya kuwasili viwanja vya Soko la Mchikichini, Ilala jijini Dar es Salaam juzi kwenye sherehe ya mafanikio ya mradi wa ‘Mpe Riziki si Matusi’ ambapo alikuwa ni mgeni rasmi. Kushoto kwake ni Mkurugenzi …
Read More »WAZIRI LUGOLA AWAONGOZA WATENDAJI WAKUU WA WIZARA YAKE KIKAO CHA KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akiingia katika Ukumbi wa Mikutano wa Bunge, jijini Dodoma leo, kwa ajili ya kuhudhuria kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama. Nyuma ya Waziri, ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu. Picha …
Read More »Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (P.I.C) yaketi jijini Dodoma
Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (P.I.C) ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum Mheshimiwa Esther Mmasi akichangia jambo katika Kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika leo Jijini Dodoma. (Picha na Ofisi ya Bunge) Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (P.I.C) Mheshimiwa …
Read More »AJALI YA WANAFUNZI YAUA MMOJA NA KUJERUHI KUMI MWANZA
MTU mmoja amepoteza maisha na kumi wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari mawili yanayobeba wanafunzi baada ya kugongana. Taarifa hiyo imetolewa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza ambayo iko hapo chini. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI JESHI LA POLISI TANZANIA TELEGRAMS: POLISI, …
Read More »MOTISHA YA IGP KWA ASKARI YAMUIBUA GIDABUDAY
Katibu wa Mkuu wa Shirikisho la Riadha nchini Bw. Wilhelmi Gidabuday akitoa pongezi zake kwa Jeshi la Polisi mkoani Arusha baada ya kuonyesha nia ya kuwajali askari wanamichezo katika hafla iliyofanyika jana usiku katika ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi uliopo jijini hapa. (Picha na Rashid Nchimbi wa Polisi …
Read More »KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA NBS
Baadhi ya Wabunge ambao ni wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa kuhusu majukumu ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) wakati wa ziara yao waliyoifanya katika Makao Mkuu ya NBS Jijini Dodoma. KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imeridhishwa na utendaji …
Read More »KONGAMANO LA KUMPONGEZA RAIS MAGUFULI KUFANYIKA AUGUST 31, 2018 JIJINI DAR ES SALAAM
Mwenyekiti wa Taasisi ya Nuru ya Taifa Tanzania, Gadiell Joseph, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juzi, kuhusu kongamano la kumpongeza Rais Dk.John Pombe Magufuli kutokana na utendaji wake kazi mzuri katika kuliongoza Taifa la Tanzania. Mwenyekiti wa Taasisi ya Nuru ya Taifa Tanzania, Gadiell Joseph, akisisitiza jambo …
Read More »POLISI KILIMANJARO YANASA GARI LA KIFAHARI LILILOIBIWA NCHINI KENYA
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro,Kamishna Msaidizi wa Polisi,Hamis Issa aikionesha kwa waandishi wa Habari Gari aina ya Nissan Patrol v8 linalodaiwa kuibiwa Nairobi nchini Kenya kabla ya kukamatwa likiwa njiani kuelekea jijini Arusha. Muonekano wa Ndani wa gari hilo la kifahari ambalo hata hivyo lilikutwa kifaa cha kufuatilia …
Read More »BOB WINE AACHIWA HURU NA MAHAKAMA YA KIJESHI, AKAMATWA TENA
MBUNGE wa Kyadondo, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine ameondolewa mashtaka ya umiliki haramu wa silaha yaliyokuwa yanamkabili mahakama ya kijeshi nchini Uganda. Baada ya kufutiwa mashtaka na mahakama ya kijeshi Uganda na kuwa huru, Bobi Wine amekamatwa tena. Inaarifiwa kwamba anatarajiwa kushtakiwa katika mahakama ya hakimu mkuu kujibu mashtaka …
Read More »Tigo Pesa yatoa Riba ya TSH 2.35 Billion kwa Wateja
Tigo Pesa yatoa Riba ya TSH 2.35 Billion kwa Wateja Yatoa Riba ya Robo ya pili ya Mwaka Kutoka Kwenye Akaunti Za Wateja wa Tigo Pesa. Dar es Salaam, 23 Agosti 2018: Wateja wa mtandao unaongoza kwa maisha ya kidigitali nchini, Tigo Tanzania ambao wamejisajili na huduma ya kifedha …
Read More »VICHAKA VYA ITIGI ‘ITIGI THICKETS’ HATARINI KUTOWEKA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba akisalimiana na Bw. Khatib Ally mmoja wa wananchi waliojitokeza kumpokea katika Kijiji cha Aghondi Wilayani Manyoni, Mkoani Singida. Waziri Makamba ametembelea eneo hilo ambalo lina vichaka vya aina yake na vyakipekee barani Afrika. Wananchi wa eneo …
Read More »WATOTO WASHEREHEKEA SIKUKUU YA EID AL ADHA VIWANJA VYA SABASABA (TANTRADE )
Picha mbalimbali zikionyesha watoto wakisheherekea Sikukuu ya Eid al Adha kwa burudani ya michezo mbalimbali katika uwanja Mwl. Jk.Nyerere(SabaSaba). Michezo hiyo iliandaliwa na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade).
Read More »Kabeho asisitiza wazazi kuwaandikisha watoto shule
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru, Charles Kabeho akizungumza na wananchi wakiwemo wanafunzi alipokuwa akikagua miradi ya maendeleo wilayani Kishapu. Na Robert Hokororo, Ofisi ya Mkurugenzi Kishapu Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Charles Kabeho amewasisitiza wazazi kuwaandikisha watoto wao shule ili wapate elimu itakayowasaidia katika mazingira …
Read More »